Kitabu hiki kimebeba uhalisia wa Maisha ambayo nimeishi na kujifunza kutoka kwa wengine. Pamoja na kitabu hiki kubeba mambo mengi mazuri sana, bado inakupasa wewe uwe mchukuaji wa Hatua kwa kila unalojifunza ndani ya kitabu hiki. Usiishie kusoma na kuburudika kama msomaji wa hadithi bali uweze kuchukua Hatua hata kama ni ndogo lakini inayoleta mabadiliko kwenye Maisha yako.

Karibu sana Rafiki Yangu ujipatie maarifa haya na Maisha yako yabadilike.

Kitabu hiki ni kwa ajili yako wewe Rafiki yangu ambaye hadi sasa bado unasua sua na kutoa sababu kibao ambazo unataka zihalalishe kwanini hujaanza biashara hadi sasa. Pia ni kwa ajili ya wewe ambaye tayari ulishafanya biashara ukafeli kwa namna moja au nyingine. Kufeli huko kukawa sababu ya wewe kuacha kabisa na kuogopa kuanza tena.

Kitabu kimegusia maswali ambayo umekuwa unajiuliza mara kwa mara, kama, Jinsi ya Kufanikiwa Kibiashara, Namna ya Kuwekeza Katika Biashara, Biashara zenye Mafanikio ni zipi?, Siri za Wafanyabiashara wenye Mafanikio Makubwa Duniani, Funguo za Mafanikio Kibiashara, Kanuni za Kukuza Biashara, na mengine mengi.

Ni kwa ajili yako wewe ambaye uko kwenye biashara miaka na miaka lakini hukui. Biashara yako ni ile ile siku zote. Hakuna mabadiliko yeyote.

Kitabu Hiki Kimetoa Jibu la Maswali haya;

Kwanini Hujaanza Biashara hadi sasa?

Sababu ambazo watu wengi huzitumia kama kinga ya kwanini hawajaanza biashara na suluhisho za sababu hizo.

Kwanini Ulishindwa?

Sababu mbalimbali ambazo zimekuwa chanzo cha wewe kupata hasara au kushindwa kwenye biashara uliyoanza, na Hatua za kuchukua ili uweze kuwa mshindi.

Kwanini wewe Hukui Kama Wengine?

Chanzo cha wewe kudumaa kwenye biashara miaka na miaka bila ya mabadiliko yeyote. Hatua za kuchukua ili uweze kukua na kuongezeka.

Hizo ni baadhi ya mambo niliyogusia kwenye kitabu hiki. Unaweza kuona ni jinsi gani ambavyo unakwenda kupata suluhisho na kutoka katika ile sehemu ambayo wewe umekwama.

Kinapatikana kwa mfumo wa softcopy kwa bei ya Tsh 10,000/= (elfu kumi). Ukishafanya malipo ya Kitabu tuma jina la kitabu pamoja na email yako na utatumiwa kwenye email yako mara moja.

Namba za Malipo.

0654726668 Tigopesa.

Karibu Sana Rafiki.

Jacob Mushi,

Andika Maoni Yako Hapa

Discover more from Jacob Mushi

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading