Jijengee Tabia ya Kuweka Akiba.

Habari rafiki, hongera kwa kuchukua hatua ya kutaka kujijengea tabia ya kuweka akiba. Hii ni tabia ambayo watu wachache sana wanayo na imewawezesha kuishi maisha ya mafanikio yasiyo na hofu. Embu jiulize kama sasa hivi ungekuwa na akiba ya fedha ambayo inatosha kuendesha maisha yako hata kama hufanyi kazi yoyote kwa miaka 5 ungeishi kwa […]

KITABU: Mafanikio Kwenye Biashara.

Kitabu hiki kimebeba uhalisia wa Maisha ambayo nimeishi na kujifunza kutoka kwa wengine. Pamoja na kitabu hiki kubeba mambo mengi mazuri sana, bado inakupasa wewe uwe mchukuaji wa Hatua kwa kila unalojifunza ndani ya kitabu hiki. Usiishie kusoma na kuburudika kama msomaji wa hadithi bali uweze kuchukua Hatua hata kama ni ndogo lakini inayoleta mabadiliko kwenye […]